MAJAJI
Saba wa Mahakama Kuu nchini Kenya, wameanza kusikiliza pingamizi la Muungano wa
upinzani NASA, chini ya aliyekuwa mgombea wa chama hicho kwenye uchaguzi mkuu
wa Kenya, Raila Odinga, kuhusu matokeo ya uchaguzi mkuu wa nchi hiyo ambapo
mgombea wa Jubilee, Rais Uhuru Kenyatta, aliibuka mshindi.
Mahakama
hiyo tayari imekubali baadhi ya maombi ya NASA, ya kutaka mfumo wa IT wa 34A
Pia
Mahakama hiyo imeamuru IEBC kutoa nyaraka (fomu) namba 34A, B na C.
Jopo
la mawakili wa NASA, likiongozwa na James Orengo, pamoja na Mwanasheria
Mkuu wa
zamani wa nchi hiyo, Amos Wako, Otiende Amollo na Moses Watangula,
linataka Mahakama Kuu ya Kenya, itengue matokeo yaliyompa ushindi Rais
Kenyatta.
SHARE









No comments:
Post a Comment