TRA

TRA

Tuesday, August 29, 2017

Polisi yachunguza upya mauaji ya mchora katuni

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !

Polisi wa Uingereza wamesema wanachunguza tena mauaji ya mchora Katuni wa Kipalestina Naji Al-Ali.

Alipigwa risasi wakati alipokuwa akitembea kuelekea ofisini kwake jijini London Julai 1997.
 

Naji al- Ali anajulikana zaidi kutokana na katuni zake ambazo zilikuwa zikichapishwa katika gazeti la Kuwaiti, na mara kadhaa alikuwa akiwashutumu viongozi wa Kiarabu na utawala.

Polisi wa mji wa London wamesema wanamatumaini kwamba watu ambao hawakutaka kuzungumza wakati mauaji yalipotokea pengine sasa wataweza kuzungumza.

CHANZO: BBC

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger