TRA

TRA

Monday, September 11, 2017

AZANIA BANK YASHIRIKI MKUTANO MKUU WA MWAKA WA WAHANDISI

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !

 

IMG-20170908-WA003
Timu  ya Azania Bank Ltd, ikiongozwa na Ndugu Jackson Lohay, Meneja Mwandamizi Kitengo cha wateja binafsi imeweza kushiriki kwa ufanisi katika mkutano mkuu wa Mwaka wa Wahandisi nchini Tanzania, uliofanyika mjini Dodoma tar 7-8 mwaka huu. Waliweza kutoa maelezo mbalimbali kuhusiana na benki ya Azania, pia mazao mballimbali na huduma zote zitolewazo na benk hiyo. Na pia kuwakaribisha wahandisi hao kwenye matawi yao yaliyopo sehemu mbalimbali ndani ya Tanzania.
IMG-20170910-WA077 Photo 1 erb DOM photo 4 erb Dom PHOTO5 ERB Dom

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger