Mkurugenzi
wa shirika la Foundation for Tomorrow Melissa Queyquep akizungumza na wanafunzi
wa shele ya Sekondari Naura juzi jijini Arusha baada ya shirika hilo kudhamini shindano
la kuwasaka wanafunzi bora katika masomo ya
Sayansi,Hesabu na Mawasiliano
wa shirika la Foundation for Tomorrow Melissa Queyquep akizungumza na wanafunzi
wa shele ya Sekondari Naura juzi jijini Arusha baada ya shirika hilo kudhamini shindano
la kuwasaka wanafunzi bora katika masomo ya
Sayansi,Hesabu na Mawasiliano
Meneja Mafunzo ya stadi za Maisha Hilda Lema kutoka shirika la Foundation for
Tomorrowa kulia akiwa katika picha ya pamoja mara baaada ya kumkabidhi mwanafunzi wa shule ya sekondari Arusha day zawadi ya fedha na cheti baada ya kuibuka mshindi katika shindano la kuwatafuta wanafunzi bora katika masomo ya
Sayansi,Hesabu na Mawasiliano
Tomorrowa kulia akiwa katika picha ya pamoja mara baaada ya kumkabidhi mwanafunzi wa shule ya sekondari Arusha day zawadi ya fedha na cheti baada ya kuibuka mshindi katika shindano la kuwatafuta wanafunzi bora katika masomo ya
Sayansi,Hesabu na Mawasiliano
Mkuu wa wa
shule ya Sekondari Lemara Mkoani Arusha Risala S. Juma akiwa katika picha ya
pamoja na mwanafunzi wake wa kike kidato cha Nne shule ya Sekondari Lemara Victoria
Kira aliyefanya vizuri katika somo la Sayansi
shule ya Sekondari Lemara Mkoani Arusha Risala S. Juma akiwa katika picha ya
pamoja na mwanafunzi wake wa kike kidato cha Nne shule ya Sekondari Lemara Victoria
Kira aliyefanya vizuri katika somo la Sayansi
SHARE
No comments:
Post a Comment