• About
  • Services
  • Products
  • Blog
  • Contact Us

NCHI YANGU

Menu
  • Home
  • Lifestyle
    • Sub Menu 1
    • Sub Menu 2
    • Sub Menu 3
  • Sports
    • Sub Menu 1
      • Sub Menu 1
      • Sub Menu 2
      • Sub Menu 3
    • Sub Menu 2
    • Sub Menu 3
  • Post
  • Fitness
  • Music
  • Travel
  • Politics
  • Beauty

TRA

TRA

Friday, September 8, 2017

Home > > Waandamanaji wakesha kupinga utawala wa Rais Gnassingbe

Waandamanaji wakesha kupinga utawala wa Rais Gnassingbe

at 7:23 AM
Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !


Vikosi vya usalama nchini Togo vimerusha gesi ya kutoa machozi mapema leo, kutawanya mamia ya waandamaji wanaoipinga seikali walioshinda usiku kucha mjini Lome.
 Waandamanaji walikesha mitaani kupinga utawala wa Gnassingbe Togo
Vyombo vya habari vimekuwa vikichapisha picha za waandamanaji wakilala barabarani usiku.
  • Upinzani wasema maandamano yalisababisha vifo Togo
  • Mfalme wa Morocco, asusia mkutano wa ECOWAS
Polisi walichukua hatua ya maandamano ya nchi nzima ya saa 48 ya kutaka kumalizika kwa utawala wa miaka 50 wa familia ya Gnassingbe
Hakuna taaraifa yoyote ya majeruhi au maafa.
Maandamano yaliendelea licha ya Rais Faure Gnassingbe, kuahidi kurejesha sheria ya kutaka rais ahudumu kwa mihula miwili pekee nchini humo.
  • Walinzi wa Netanyahu na wa rais wa Togo wazozana Liberia
Mamlaka zimeamrisha kuzimwa kwa mitandao kwa muda wa siku mbili kama njia ya kukabiliana na maandamano hayo.

CHANZO: BBC
Unknown

Author: Unknown

SHARE
  • Share
  • Tweet
  • Share
  • Pin
  • Share
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Fourni par Blogger CodeEnvoyer par emailBlogThis !Partager sur TwitterPartager sur FacebookPartager sur LinkedInÉpingler sur PinterestPartager sur StumbleUponVoter pour cet article sur HelloCoton

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Tupate kupitia Facebook

Popular Posts

  • FULL TIME: SERENGETI BOYS 3 vs 0 BURUNDI U-17
    Na Faustine Ruta, Bukoba Timu ya Vijana U17 ya Burudi leo kwenye uwanja wa Kaitaba imeanza mchezo wake wa kwanza wa kirafiki ...
  • WAZIRI UMMY AENDESHA MKUTANO WA BARAZA LA KISEKTA LA MAWAZIRI WA AFYA WA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI
    M...
  • WAKULIMA KUNUFAIKA NA BWAWA LA KILOMO CHA UMWAGILIAJI MKOANI GEITA.
      Mkuu wa Wilaya ya Geita  Mwl Herman Kapufi akikagua Shamba la Mahindi kwenye Kijiji cha Nyang'uku . Mwenyekiti...

Popular Posts

  • FULL TIME: SERENGETI BOYS 3 vs 0 BURUNDI U-17
    FULL TIME: SERENGETI BOYS 3 vs 0 BURUNDI U-17
    Na Faustine Ruta, Bukoba Timu ya Vijana U17 ya Burudi leo kwenye uwanja wa Kaitaba imeanza mchezo wake wa kwanza wa kirafiki ...
  • WAZIRI UMMY AENDESHA MKUTANO WA BARAZA LA KISEKTA LA MAWAZIRI WA AFYA WA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI
    WAZIRI UMMY AENDESHA MKUTANO WA BARAZA LA KISEKTA LA MAWAZIRI WA AFYA WA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI
    M...
  • WAKULIMA KUNUFAIKA NA BWAWA LA KILOMO CHA UMWAGILIAJI MKOANI GEITA.
    WAKULIMA KUNUFAIKA NA BWAWA LA KILOMO CHA UMWAGILIAJI MKOANI GEITA.
      Mkuu wa Wilaya ya Geita  Mwl Herman Kapufi akikagua Shamba la Mahindi kwenye Kijiji cha Nyang'uku . Mwenyekiti...
  • Mhenga alisema, ukitaka kula lazima ukubali kuliwa
    Said Mwishehe JUMAPILI ya leo naomba kabla ya kwenda mbali zaidi nitumie nafasi hii kutoa salamu zangu za dhati kwa wahenga. Shikamoni wahen...
  • ALIYEKUWA DIWANI WA KATA YA GIHANDU AJIUZULU
    ALIYEKUWA DIWANI WA KATA YA GIHANDU AJIUZULU
      Na Jumbe Ismailly -HANANG .  ALIYEKUWA diwani wa kata ya Gihandu,wilayani Hanang,Mkoani Manyara kwa tiketi ya Chama c...
  • TANZANIA NA CHINA ZATILIANA SAINI HATI YA MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO UJENZI WA RELI YA KATI KWA KIWANGO CHA KIMATAIFA
    K...

Pages

  • Home
  • About Us
  • Contat Us
 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger