TRA

TRA

Sunday, November 5, 2017

Msemaji Mkuu wa Serikali Aelezea Mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Tano

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !


Pix 01
Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) na Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt. Hassan Abbasi (katikati) akizungumza na Waandishi wa Habari (hawapo pichani) kuhusu mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Tano katika kipindi cha miaka miwili ya uongozi wa Rais Dkt. John Pombe Magufuli, kulia ni Mkurugenzi Msaidizi Kitengo cha Usajili, Patrick Kipangula na kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi Kitengo cha Habari na Picha, Rodney Thadeus.
Pix 02
Baadhi ya Waandishi wa Habari wakimsikiliza Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) na Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt. Hassan Abbasi (katikati) wakati akielezea mafanikio ya Serikali ya awamu ya tano katika kipindi cha miaka miwili ya uongozi wa Rais Dkt. John Magufuli mapema Jijini Dar es Salaam.
Picha na Idara ya Habari – MAELEZO

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger