Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akipita kwenye gwaride la Kimya lililoandaliwa kwa heshma na Jeshi la
Uganda mara baada ya kumaliza ziara yake ya siku tatu nchini Uganda na
kurejea nchini.

Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akiwa na Mke wake Mama Janeth Magufuli wakifurahia ngoma ya asili
iliyokuwa ikipigwa na watoto wa nchini Uganda katika eneo la mpakani la
Mutukula kabla ya kurejea nchini.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akizungumza na wananchi wa mpakani Mutukula upande wa Tanzania mara
baada ya kuwasili akitokea Uganda.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akizungumza na wananchi wa Mpakani mwa Tanzania na Uganda (Mutukula)
kuhusu ujenzi
wa barabara ya Kutoka Miziro hadi Mutukula bila kupitia wilayani
Misenyi. Pembeni yake ni Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano
Profesa Makame Mbarawa akisikiliza.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akizungumza na wananchi wa mpakani Mutukula upande wa Tanzania mara
baada ya kuwasili akitokea Uganda.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akizungumza na wananchi wa mpakani Mutukula upande wa Tanzania mara
baada ya kuwasili akitokea Uganda.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akiagana na viongozi wakuu wa Majeshi ya Uganda mara baada ya kumaliza
ziara yake nchini Uganda.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwapungia wananchi wa mpakani Mutukula upande wa Uganda mara baada ya kumaliza ziara yake ya siku tau nchini Uganda. PICHA NA IKULU
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akiwapungia wananchi wa mpakani Mutukula upande wa Uganda mara baada ya
kumaliza ziara yake ya siku tau nchini Uganda. PICHA NA IKULU
SHARE


















No comments:
Post a Comment