Shirikisho
la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limemteua Alfred Lucas kuwa Afisa
Habari na Mawasiliano mpya wa shirikisho kuanzaia leo Aprili 27, 2016.
Alfred
anachukua nafasi ya Baraka Kizuguto aliyehamishiwa katika Kurugenzi ya
Mashindano kuwa Afisa Mashindano na Meneja wa Mifumo pepe ya Usajili
(TMS).
Alfred ana uzoefu kutoka vyombo mbalimbali alivyovitumikia kama mwandishi wa habari na mhariri.Kadhalika Alfred kitaaluma amesomea uandishi wa habari, uhusiano wa kimataifa na diplomasia pamoja na lugha.
Mawasiliano ya Afisa Habari,
Alfred Lucas:
Namba ya simu: 0769 088111 (P.T)
SHARE
No comments:
Post a Comment