Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan,
akizungumza na Waziri wa Biashara na Viwanda wa Urusi Mhe. Denis
Manturov aliyeongoza ujumbe maalum kutoka kwa Rais wa Urusi Mhe. Vladmir
Putin wakati ujumbe huo ulipofia Ikulu Dar es salaam jana April 28,
2016. Katika mazungumzo yao Viongozi hao wamezungumzia kuhusu kuendelea
kuzidisha ushirikiano katika Nyanja mbalimbali za kimaendejana baina ya
Tanzania na Urusi.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan,
akisalimiana na Waziri wa Biashara na Viwanda wa Urusi Mhe. Denis
Manturov aliyeongoza ujumbe maalum kutoka kwa Rais wa Urusi Mhe. Vladmir
Putin wakati ujumbe huo ulipofia Ikulu Dar es salaam jana April 28,
2016. Katika mazungumzo yao Viongozi hao wamezungumzia kuhusu kuendelea
kuzidisha ushirikiano katika Nyanja mbalimbali za kimaendejana baina ya
Tanzania na Urusi.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan,
katikati akiwa katika picha ya pamoja na Waziri wa Biashara na Viwanda
wa Urusi Mhe. Denis Manturov aliyeongoza ujumbe maalum kutoka kwa Rais
wa Urusi Mhe. Vladmir Putin wakati ujumbe huo ulipofia Ikulu Dar es
salaam jana April 28, 2016. Katika mazungumzo yao Viongozi hao
wamezungumzia kuhusu kuendelea kuzidisha ushirikiano katika Nyanja
mbalimbali za kimaendejana baina ya Tanzania na Urusi.(P.T)
SHARE
No comments:
Post a Comment