TRA

TRA

Sunday, April 10, 2016

magoli ya mechi ya Azam FC Vs Esperance

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !

 


April 10 2016 ilikuwa zamu ya Azam FC kuiwakilisha Tanzania dhidi ya Esperance ya Tunisia katika mchezo wa Kombe la Shirikisho barani Afrika, Mchezo huo ambao ulimalizika kwa Azam FC kuibuka na ushindi wa goli 2-1. Magoli ya Azam FC yalifungwa na Farid Musa  dakika ya 68 na Ramadhani Singano dakika ya 70, wakati goli pekee la Esperance lilifungwa dakika ya 34 na Haithem Jouini.

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger