Naibu Spika Mhe. Dkt. Tulia Akson akitoa maelekezo wakati wa mkutano wa Bunge unaoendelea mjini Dodoma.
Mbunge wa
Viti Maalum Tabora mjini Mhe. Mwanne Nchemba (CCM) akichangia hoja
wakati kujadili hoja ya Hotuba ya Bajeti ya Ofisi ya Rais,Tamisemi,
Utumishi na Utawala Bora inayoongozwa na Mawaziri George Simbachakene
na Angella Kairuki iliyowasilishwa mapema leo Bungeni mjini Dodoma.
Mbunge wa
Arusha mjini Mhe. Godbless Lema (CHADEMA) akichangia hoja wakati
kujadili hoja ya Hotuba ya Bajeti ya Ofisi ya Rais,Tamisemi, Utumishi na
Utawala Bora inayoongozwa na Mawaziri George Simbachakene na Angella
Kairuki iliyowasilishwa mapema leo Bungeni mjini Dodoma
Wabunge
wakifuatilia mjadala wa Hotuba ya Bajeti ya Ofisi ya Rais,Tamisemi,
Utumishi na Utawala Bora inayoongozwa na Mawaziri George Simbachakene
na Angella Kairuki iliyowasilishwa mapema leo Bungeni mjini Dodoma
Mbunge wa
Chalinze Ridhiwani Kikwete akiongea na Mbunge wa Iringa Mjini Mchungaji
Peter Msigwa (katikati) mara baada ya kumalizika mkutano wa Bunge leo
mjini Dodoma.(P.T)
SHARE
No comments:
Post a Comment