TRA

TRA

Saturday, April 2, 2016

MFUKO WA PENSHENI LAPF YAKABIDHI MSAADA WA MABATI 300 SHULE ZA WILAYA YA GEITA

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !


6
Mkuu wa Mkoa wa Geita Meja Generali Mstaafu Ezekiel Kyungu akishuhudia mabati yaliyotolewa ma Mfuko wa Pensheni LAPF kwa ajili ya ujenzi wa madarasa wilayani Geita ikiwa jitihada za Mfuko wa LAPF kuunga mkono jitihada za Serikali kutoa elimu bure. Jumla ya mabati 300 yenye thamani ya Shs. 7,000,000/= yalikabidhiwa.
7
Mkuu wa Mkoa wa Geita Meja Generali Mstaafu Ezekiel Kyungu akikagua mabati yaliyokabidhiwa kama msaada na mfuko wa Pensheni wa LAPF wilayani Geita, kulia ni Meneja Masoko wa Mfuko wa LAPF Bw. James Mlowe wengine ni maofisa kutoka wilaya ya Geita.
8
Mkuu wa Mkoa wa Geita Meja Generali Mstaafu Ezekiel Kyungu akiteta jambo na Meneja Masoko wa Mfuko wa Pensheni LAPF pamoja na mbalimbali wa Wilaya ya Geita mara baada ya makabidhiano ya msaada wa mabati kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa.
9
Mkuu wa Mkoa wa Geita akitoa neno la shikrani kwa Mfuko wa Pensheni LAPF kwa msaada wa mabati 300 yanayotosheleza kuezeka vyumba sita (6) vya madarasa yanayoweza kuchukua wanafunzi 45 kwa kila chumba na hivyo kupunguza tatizo la ukosefu wa mazingira bora ya kufundishia. PICHA NA MPIGA PICHA WETU (P.T)

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger