TRA

TRA

Tuesday, March 7, 2017

Korea Kaskazini yasema inajiandaa kushambulia Japan

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !



Korea Kaskazini imesema kuwa ulipuaji wa makombora manne hiyo jana ulikuwa mafunzo ya kujiandaa kushambulia vituo vya kijeshi vilivyoko nchini Japan na kwamba shughuli hiyo ilisimamiwa na kiongozi wa Taifa hilo katili Kim Jong-un.
Rais Trump alifanya mashauriano kwa njia ya simu na Waziri Mkuu wa Japan, Shinzo Abe, na Rais wa muda wa Korea Kusini kujadili jinsi ya kujibu kitendo hicho.
''Korea kaskazini imefyatua makombora yake manne leo na kuangukia karibu na eneo letu la maji lenye manufaa kwetu kiuchumi.

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger