
Na Mwamvua Mwinyi, Pwani
MKUU wa mkoa wa Pwani, mhandisi Evarist Ndikilo,ametoa wiki mbili kwa vyama vya ushirika vya msingi vya korosho,vya Rifiji, Kibiti na Mkuranga,kwenda kujieleza kwa wakuu wa wilaya zao kuhusu upotevu wa mamilioni ya fedha.
MKUU wa mkoa wa Pwani, mhandisi Evarist Ndikilo,ametoa wiki mbili kwa vyama vya ushirika vya msingi vya korosho,vya Rifiji, Kibiti na Mkuranga,kwenda kujieleza kwa wakuu wa wilaya zao kuhusu upotevu wa mamilioni ya fedha.
SHARE








No comments:
Post a Comment