TRA

TRA

Thursday, April 13, 2017

MAREKANI YADONDOSHA "MAMA WA MABOMU" HUKO AFGHANISTAN

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !

 

NA K-VIS BLOG NA MASHIRIKA YA UMMA
JESHI la Marekani, limedondosha bomu kubwa lililopewa jina “Mama wa mabomu yote” kwenye mapango ya wapiganaji wa Kiislamu wa ISIS hulo Afghanistani Aprili 13, 2017.
Bomu hilo lijulikanalo kama GBU-43/B ni bomu lenye nguvu kubwa lisilo la kinyuklia kuwahi kudondoshwa katika karne hii na linaweza kufanya uharibifu kwenye eneo la ukubwa wa yadi 1,000
Rais wa zamani wa Afghanistan, Hamid Karzai, amelaani shambulio hulo na kuwataka Waafghani waamue wenyewe kama bado wanahotaji usaidizi wa Marekani nchini mwao kwani ilivyo sasa, Marekani imeamua kuitumia nchi hiyo kufanya majaribio ya sikaha zake.
Kwa mujibu wa wizara ya Ulinzi ya Marekani PENTAGON, shambulio hilo kubwa kufanywa chini ya utawala wa Rais Donald Trump.
Rais Trump alisema, “Niliamuru majeshi yangu baada ya kikao kazi cha dharura Ikulu  na kuita bomu hilo ni mafanikio mengine makubwa yaliyotekelezwa na majeshi yake.” Alisema.

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger