TRA

TRA

Wednesday, April 26, 2017

RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE NA MBUNGE WA TARIME MJIJI ESTHER MATIKO WAKIWA UWANJA WA NDEGE DULLES, MAREKANI

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !


Rais  Mstaafu Jakaya Kikwete akiwa na Mbunge wa Tarime mjini Esther Matiko (Chadema) katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa  Dulles  Washington DC nchini Marekani ,wakiwa wanarejea nchini kutoka Marekani walikokuwa wakihudhuria mkutano wa kimataifa  uliowajumuisha  viongozi mbalimbali  wa nchi  wanachama wa  Benki  ya Dunia na na IMF, asasi za kiraia, mashirika  binafsi kuzungumzia masuala ya mbalimbali has afya na elimu. Tayari viongozi hao wamewasili nchini na wanaendelea na majukumu yao

Mkutano huo umeazimia nchi na mashirika mbalimbali  kuwekeza kwenye  Lishe ili mataifa  kuepuka  kuwa na  watu wenye  udumavu na hivyo kuathiri uchumi wa  nchi.

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger