TRA

TRA

Wednesday, April 26, 2017

JOKATE MWEGELO AANZA MAJUKUMU YAKE UVCCM KWA KISHINDO

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !


Kaimu Mkuu wa Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi Ndg:Jokate Urban Mwengelo akishukuru jambo mara baaada ya kuwasili katika eneo hilo kata ya Hombolo
Mjumbe wa Baraza kuu Uvccm Taifa kupitia Mkoa wa Dodoma Ndg:Egla Mamoto akizungumza katika Mkutano wa Wanachama kata ya Chang’ombe.

 JOJO1
 Kaimu Mkuu wa Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi Ndg:Jokate Urban Mwengelo wa Nne kulia akiwasili kata ya Hombolo  alipokwenda kukabidhi kadi kwa wanachama wapya. 
  Kaimu Mkuu wa Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi Ndg:Jokate Urban Mwengelo akizungumza  na vijana na wanachama wa chama cha mapinduzi kata ya Hombolo  mkoan Dodoma
   Kaimu Mkuu wa Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi Ndg:Jokate Urban Mwengelo akitoa kadi kwa  wanachama wapya wa chama cha mapinduzi kata ya Hombolo  mkoan Dodoma
 Wanachama wapya wakiala kiapo cha chama
Kaimu Mkuu wa Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi Ndg:Jokate Urban Mwengelo akitoa kadi kwa  wanachama wapya wa chama cha mapinduzi kata ya Hombolo Mjini  mkoan Dodoma
   Kaimu Mkuu wa Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi Ndg:Jokate Urban
Mwengelo wa pili kulia akimuaga mwenyekiti wa UWT kata ya Hombolo Mjini .

   Kaimu Mkuu wa Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi Ndg:Jokate Urban
Mwengelo akizungumza na Wanachama wa UVCCM Chuo kikuu UDOM  Mkoan dodoma.
 Makada wa chama cha Mapinduzi wakijiselfii na kaimu Mkuu wa Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi
 Mjumbe wa Baraza kuu Uvccm Taifa kupitia Mkoa wa Dodoma Ndg:Egla Mamoto akizungumza katika Mkutano wa Wanachama kata ya Chang’ombe.

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger