Kamati ya Nidhamu ya TFF, imetangaza kumfungia miezi 12 Msemaji wa Simba, Haji Manara.
Pamoja na kufungiwa mwaka mmoja, Manara amepigwa faini ya Sh milioni 9.
Makamu Mwenyekiti wa
Kamati ya Nidhamu ya TFF, Wakili Jerome Msemwa amesema Manara amefungiwa
miezi 12 kutokana na utovu wa nidhamu.
Akizungumza na
waandishi wa habari hivi punde, Msemwa amesema uamuzi huo umefikiwa
baada ya kubaini Manara amefanya utovu mkubwa wa nidhamu.
SHARE
No comments:
Post a Comment