TRA

TRA

Tuesday, April 11, 2017

Trump kuiuzia Nigeria ndege za jeshi

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !

Rais wa Marekani, Donald Trump ameendelea na mipango ya kuiuzia Nigeria ndege kadhaa za kivita katika mapambano yake dhidi ya kundi la itikadi kali la Boko Haram, ambalo limesababisha mtafaruku katika taifa hilo lenye wakaazi wengi barani Afrika kwa mashambulio ya mabomu na mauaji.


Makubaliano hayo , ambayo hapo awali yalikubaliwa chini ya utawala wa rais wa zamani Barack Obama, yalicheleweshwa baada ya jeshi la anga la Nigeria kushambulia kituo cha wakimbizi , na kuuwa zaidi ya raia 90. 

Vyanzo katika bunge la Marekani Congress vimewaambia waandishi habari kwamba hali ya wasi wasi bado inaendelea kuwapo juu ya iwapo serikali ya Nigeria itaweza kulipia gharama kamili za ndege hizo mbazo ni dola milioni 600.

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger