TRA

TRA

Wednesday, May 31, 2017

Mifupa ya gwiji wa Brazil Garrincha haijulikani ilipo

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !


Vyombo vya habari nchini Brazil vinasema kuwa mifupa ya gwiji wa zamani wa soka nchini humo Manuel Francisco dos Santos maarufu kama Garrincha, inaweza kuwa imepotea zaidi ya miongo mitatu baada ya kifo chake akiwa na miaka 49.


 Garrincha (kushoto) na Pele walitengeneza safu hatari ya ushambuliaji Brazil

Kuna makaburi mawili ambayo yote yana majina yakemjini Rio de Janeiro lakini inawezekana kati ya hayo hakuna hata moja ambalo ni lake. 

Mmoja wa wahifadhi wa makaburi hayo anasma kuwa mifupa yake inaweza kuwa ilihamishwa miaka kadhaa iliyopita ila haijulikani wapi haswa ilipelekwa.

Garrincha mpinzani mkubwa wa Pele wa ni nani zaidi katika historia ya soka kwa nchi hiyo,aliisaidia nchi yake kutwaa kombe la dunia mwaka 1958 na 1962.

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger