TRA

TRA

Monday, May 29, 2017

REHEMA FOUNDATION YAGAWA FUTARI KIJIJI CHA KILOMO BAGAMOYO

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !



Mwakilishi wa taasisi ya Rehema foundation ,Zuber akigawa chakula kwa ajili ya futari kwa wakazi wa Bagamoyo ikiwa ni sehemu ya msaada uliotolewa na taasisi yao kutoka kwa wanancha mbali mbali wa nchi ya Uturuki kwa kipindi hiki cha Ramadhani
Mwenyekiti wa Taasisi ya Rehema ,Mustafa Diriel akigawa mifuko ya futari kwa wasiojiweza na wazee wa kijiji cha Kilomo Bagamoyo Pwani.Chakula hicho kimechangishwa na watu mbali mbali katika inchi ya Uturuki
Mohamedd akimpatia mzee Miraji fuko lake la futari katika kipindi hiki cha mwezi Mtukufu wa Ramadhani
Wafanyakazi wa taasisi ya Rehema Foundationi wakigawa mifuko ya chakula
Mbunge wa Bagamoyo akiwa na timu mzima ya Taasisi ya Rehema na wakazi wa kilomo baada ya kupewa msaada huo.

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger