• About
  • Services
  • Products
  • Blog
  • Contact Us

NCHI YANGU

Menu
  • Home
  • Lifestyle
    • Sub Menu 1
    • Sub Menu 2
    • Sub Menu 3
  • Sports
    • Sub Menu 1
      • Sub Menu 1
      • Sub Menu 2
      • Sub Menu 3
    • Sub Menu 2
    • Sub Menu 3
  • Post
  • Fitness
  • Music
  • Travel
  • Politics
  • Beauty

TRA

TRA

Monday, May 22, 2017

Home > > Watu 922,000 walihama makwao mwaka 2016 nchini DRC

Watu 922,000 walihama makwao mwaka 2016 nchini DRC

at 4:57 AM
Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !



    Idadi ya watu waliolazimika kuhama makwao kutokana na mzozo ndani ya Jamhuri ya Demokrasi ya Congo mwaka uliopita, ilikuwa ni ya juu kuliko idadi ya watu waliohama makwao nchini Syia na Iraq.

     Watu 922,000 walihama makwao mwaka 2016 nchini DRC 

    Jamhuri ya Demokrasi ya Congo ilishuhudia ongezeko la watu 922,000 waliohama kutokana na mzozo mwaka uliopita, ikilinganishwa na watu 824,000 waliohama nchini Syria na 659,000 nchini Iraq.
    • Waasi wa M23 waingia DRC
    • Maafisa wa UN waliotekwa DRC waachiliwa huru
    • Mhubiri kutoka DRC apewa hifadhi Afrika Kusini
    • Badibanga atangazwa kuwa waziri mkuu DRC
    Watafiti kutoka baraza ya wakimbizi nchini Norway NRC walihesabu zaidi ya watu 922,000 ambao walilazimika kukimbia makwao ndani mwa DRC mwaka 2016.
    Katibu mkuu wa NRC Jan Egeland aliiambia BBC kuwa ni jambo la kushangaza kuwa sio Syria au Iraq zilizo na wahamiaji wengi.

    CHANZO: BBC
    Unknown

    Author: Unknown

    SHARE
    • Share
    • Tweet
    • Share
    • Pin
    • Share
    «
    Next
    Newer Post
    »
    Previous
    Older Post
    Fourni par Blogger CodeEnvoyer par emailBlogThis !Partager sur TwitterPartager sur FacebookPartager sur LinkedInÉpingler sur PinterestPartager sur StumbleUponVoter pour cet article sur HelloCoton

    No comments:

    Post a Comment

    Newer Post Older Post Home
    Subscribe to: Post Comments (Atom)

    Tupate kupitia Facebook

    Popular Posts

    • RAIS WA AFRIKA KUSINI JACOB ZUMA ALIVYOSHIRIKI KATIKA DHIFA YA KITAIFA ALIYOANDALIWA NA MWENYEJI WAKE RAIS MAGUFULI
      Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na mgeni wake, Rais wa Afrika Kusini, Mhe. Jacob Zuma, wakif...
    • DKT. SHEIN AWAONGOZA VIONGOZI MBALIMBALI KATIKA DUA YA KUMUOMBEA MAREHEMU MZEE KARUME
      Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Viongozi mara alipowasili katika...
    • TRA KUANZA MSAKO MKALI NCHINI
       Kampuni ya Udalali ya Msama Auction Mart ikishirikiana na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA),sambamba na Wizara ya Habari,Utamaduni Sanaa...

    Popular Posts

    • RAIS WA AFRIKA KUSINI JACOB ZUMA ALIVYOSHIRIKI KATIKA DHIFA YA KITAIFA ALIYOANDALIWA NA MWENYEJI WAKE RAIS MAGUFULI
      RAIS WA AFRIKA KUSINI JACOB ZUMA ALIVYOSHIRIKI KATIKA DHIFA YA KITAIFA ALIYOANDALIWA NA MWENYEJI WAKE RAIS MAGUFULI
      Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na mgeni wake, Rais wa Afrika Kusini, Mhe. Jacob Zuma, wakif...
    • DKT. SHEIN AWAONGOZA VIONGOZI MBALIMBALI KATIKA DUA YA KUMUOMBEA MAREHEMU MZEE KARUME
      DKT. SHEIN AWAONGOZA VIONGOZI MBALIMBALI KATIKA DUA YA KUMUOMBEA MAREHEMU MZEE KARUME
      Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Viongozi mara alipowasili katika...
    • TRA KUANZA MSAKO MKALI NCHINI
      TRA KUANZA MSAKO MKALI NCHINI
       Kampuni ya Udalali ya Msama Auction Mart ikishirikiana na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA),sambamba na Wizara ya Habari,Utamaduni Sanaa...
    • TIMUN YAAGIZWA KUANGALIA MUSTAKABALI WA DUNIA
      Mkuu wa Mawasiliano wa Umoja wa Mataifa nchini, Hoyce Temu (wa pili kushoto) katika picha ya pamoja na washiriki wa TIMUN 2017 ...
    • Mitt Romney asema Trump ni 'tapeli'
      ...
    • Mrithi wa Mugabe apelekwa Afrika Kusini
      Mrithi wa Mugabe apelekwa Afrika Kusini
        Makamu wa rais wa Zimbabwe Emmerson Mnangangwa Mmoja ya watu wanaotarajiwa kumrithi rais Mugabe wa Zimbabwe amek...

    Pages

    • Home
    • About Us
    • Contat Us
     
    Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
    Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger