Mtunza mmoja wa mazingira ambaye alikuwa akisadia kuwapeleka Faru nchini Rwanda ameuawa na mmoja wa wanyama hao.
Faru amuua mtunza mazingira Rwanda
Lakini taarifa hiyo haijasema kwa kina jinsi aliuwawa.
- Faru weupe wako hatarini Kenya
- Ripoti: Faru John alikufa kwa kukosa uangalizi wa karibu
- Utata kuhusu hatima ya faru John Tanzania
Faru hao walisafirishwa kutoka Afrika Kusini kuenda Rwanda mwezi uliopita.
SHARE
No comments:
Post a Comment