• About
  • Services
  • Products
  • Blog
  • Contact Us

NCHI YANGU

Menu
  • Home
  • Lifestyle
    • Sub Menu 1
    • Sub Menu 2
    • Sub Menu 3
  • Sports
    • Sub Menu 1
      • Sub Menu 1
      • Sub Menu 2
      • Sub Menu 3
    • Sub Menu 2
    • Sub Menu 3
  • Post
  • Fitness
  • Music
  • Travel
  • Politics
  • Beauty

TRA

TRA

Thursday, June 15, 2017

Home > > Bondia wa uzani mzito Deontay Wilder akamatwa na bangi

Bondia wa uzani mzito Deontay Wilder akamatwa na bangi

at 11:13 PM
Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !



Bingwa wa ndondi za uzani mzito duniani anayeshikilia taji la WBC Deontay Wilder ameshtakiwa kwa kumiliki bangi.

Maafisa wa polisi katika eneo la Tuscaloosa jimbo la Alabama wamesema kuwa alikamatwa alipokuwa akipeleka gari lenye vioo linalomficha aliye ndani yake kuoinekana.

 Deontay Wilder kushoto wakati wa pigano lake la hapo awali

Maafisa wanasema kuwa walipata dawa hiyo ndani ya gari lake.
  • Wabunge waidhinisha kilimo cha bangi
  • California yaidhinisha matumizi zaidi ya bangi
  • Marekani yaamua: Trump, Clinton na Bangi
  • Canada kuhalalisha bangi ifikapo mwaka ujao
Wakili wa Wilder Paul Patterson aliambia kitengo cha habari cha Tuscaloosa kwamba dawa iliopatikana ndani ya gari hilo haikuwa yake na kwamba mtu mwengine alitumia gari hilo wakati bondia huyo alipokuwa safarini.

Aliambia chombo hicho kwamba Deontay amekuwa safarini kwa siku kadhaa.

Alirudi nyumbani leo kutoka Georgia akiwa anaendesha gari lake la Rolls Royce na kuchukua gari jingine aina ya Cadillac Escalade kutembea maeneo mbalimbali ya jimbo hilo.

Wilder alishtakiwa na polisi na kuachiliwa huru kwa dhamana ya dola 1000.

Maafisa walipata ruhusa ya kulisaka gari hilo kabla ya kufanikiwa kupata kiwango cha bangi kutoka kwa gari hilo, taarifa ya maafisa wa polisi wa Tuscaloosa ilisema.

Pigano la mwisho la Wilder lilikuwa la ushindi wa raundi ya tano kwa njia ya Knockout dhidi ya Gerlad Washington alipotetea taji lake la WBC ambalo amemiliki tangu 2015.
Unknown

Author: Unknown

SHARE
  • Share
  • Tweet
  • Share
  • Pin
  • Share
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Fourni par Blogger CodeEnvoyer par emailBlogThis !Partager sur TwitterPartager sur FacebookPartager sur LinkedInÉpingler sur PinterestPartager sur StumbleUponVoter pour cet article sur HelloCoton

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Tupate kupitia Facebook

Popular Posts

  • MGOMBEA BINAFSI KUAPISHWA KAMA MBUNGE UGANDA
      Mwanamuziki wa nyimbo za reggae nchini Uganda, Robert Kyagulanyi Ssentamu, maarufu kama Bobi Wine, anaapishwa leo kama mbunge w...
  • MRADI WA HIPZ WAANDAA MBIO ZA BASKELI KUKUSANYA FEDHA KWA AJILI YA KUIMARISHA HUDUMA ZA AFYA HOSPITALI YA MAKUNDUCHI NA KIVUNGE
    Mratibu wa resi za baskeli (Bike Ride 2017) Dkt. Jon Rees akizungumza na waandishi wa habari kuhusu dhamira ya mbio...
  • WENYEVITI NA MAKAMU WENYEVITI WA KAMATI ZA KUDUMU ZA BUNGE WAKUTANA NA WABUNGE WA BUNGE LA UMOJA WA ULAYA
      Mwenyekiti wa Wabunge Vijana wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Upendo peneza akizungumza wakati wa   semina ya pamoj...

Popular Posts

  • MGOMBEA BINAFSI KUAPISHWA KAMA MBUNGE UGANDA
    MGOMBEA BINAFSI KUAPISHWA KAMA MBUNGE UGANDA
      Mwanamuziki wa nyimbo za reggae nchini Uganda, Robert Kyagulanyi Ssentamu, maarufu kama Bobi Wine, anaapishwa leo kama mbunge w...
  • MRADI WA HIPZ WAANDAA MBIO ZA BASKELI KUKUSANYA FEDHA KWA AJILI YA KUIMARISHA HUDUMA ZA AFYA HOSPITALI YA MAKUNDUCHI NA KIVUNGE
    Mratibu wa resi za baskeli (Bike Ride 2017) Dkt. Jon Rees akizungumza na waandishi wa habari kuhusu dhamira ya mbio...
  • WENYEVITI NA MAKAMU WENYEVITI WA KAMATI ZA KUDUMU ZA BUNGE WAKUTANA NA WABUNGE WA BUNGE LA UMOJA WA ULAYA
    WENYEVITI NA MAKAMU WENYEVITI WA KAMATI ZA KUDUMU ZA BUNGE WAKUTANA NA WABUNGE WA BUNGE LA UMOJA WA ULAYA
      Mwenyekiti wa Wabunge Vijana wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Upendo peneza akizungumza wakati wa   semina ya pamoj...
  • WAKURUGENZI WA SHIRIKA MISAADA YA KIMAENDELEO LA UINGEREZA WAWATEMBELEA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASIKINI UNAOTEKELEZWA NA TASAF WILAYANI KISARAWE,MKOANI PWANI.
    WAKURUGENZI WA SHIRIKA MISAADA YA KIMAENDELEO LA UINGEREZA WAWATEMBELEA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASIKINI UNAOTEKELEZWA NA TASAF WILAYANI KISARAWE,MKOANI PWANI.
    Mkurugenzi Mtendaji waShirika la Misaada ya Maendeleo la Uingereza DFID katika Benki ya Dunia Bw.David Kinder amepongeza hatua iliy...
  • MENEJA WA SIDO MKOA WA MTWARA AZINDUA RASMI MAFUNZO YA KUWAWEZESHA WANAWAKE KIUCHUMI CHINI YA TAASISI YA MANJANO FOUNDATION
    MENEJA WA SIDO MKOA WA MTWARA AZINDUA RASMI MAFUNZO YA KUWAWEZESHA WANAWAKE KIUCHUMI CHINI YA TAASISI YA MANJANO FOUNDATION
      Meneja wa SIDO Mkoa wa Mtwara Joel Chidabwa Akizungumza Machache wakati Akizindua Rasmi mafunzo ya Ujasiriamali kwa Wanawake w...
  • VODACOM HAIPO KIBIASHARA TU, HADI KWENYE MICHEZO. SOMA HAPA
    VODACOM HAIPO KIBIASHARA TU, HADI KWENYE MICHEZO. SOMA HAPA
    Wachezaji wa timu ya wafanyakazi wa Vodacom Tanzania PLC, wakishangilia ushindi wao  baada ya kuiadhibu timu ya wafanyakazi wa Huaw...

Pages

  • Home
  • About Us
  • Contat Us
 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger