TRA

TRA

Thursday, June 15, 2017

Risasi yampiga kimakosa na kukwama shingoni

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !



Mwandishi mmoja wa habari amepigwa na risasi kimakosa shingoni wakati akifuatilia mapigano nchini Ufilipino.

Adam Harvey anayefanya kazi na kituo cha ABC alichapisha picha ya X-ray katika mtandao wa Twitter ya risasi iliyokwama ndani ya shingo lake.

Hata hivyo, jela hilo sio la kumtishia maisha, mkurugenzi wa ABC alisema.
Mapigano yalianza baada ya wanamgambo wanaotangaza kulitii kundi la Islamic State, kuthibiti baadhi ya maeneo ya mji wa Marawi katika kisiwa cha mindanao mwezi Mei.
Kuna
Mwanasiasa mmoja amesema kuwa wale ambao wamefanikiwa kuondoka wameripoti kuona maiti nyingi za watu waliouawa kwenye mapigano kati ya wanamgambo na vikosi vya usalama.


   Bwana Harvey


Bwana Harvey anasema alikuwa akiinama kuchukua chakula kutoka kwa gari akiwa amevalia mavazi ya kujinga dhidi ya risasi, wakati aligonjwa na kitu alichohisi kuwa ni kama mpira wa kriketi.
Alipewa huduma ya kwanza akifikiri kuwa labda alikuwa amegongwa na ganda la risasi, lakini wakati aliamua kutibiwa picha za X-ray zilionyesha alikuwa amepigwa risasi.

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger