TRA

TRA

Sunday, June 18, 2017

Guardiola amtaka Alves Man City

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !
Matajiri wa jiji la Manchester klabu ya Man City huenda wakamgeukia beki wa Juventus Dani Alves kumsajili katika mkakati kuimarisha safu yao ya ulinzi.

City hawana mlinzi wa kulia mwenye uzoefu baada ya kuwaacha Pablo Zabaleta na Bacary Sagna.
 Dani Alves katikati akiwa na Pep Guardiola kulia baada ya   kusajiliwa na Barcelona mwaka 2008

Kumekuwa na tetesi timu hiyo inamtaka beki wa kulia wa Tottenham, Kyle Walker lakini Habari za uhakika zinasema Pep Guardiola anataka kumsajili kitasa wa kibrazil aliyewahi kufanya ane kazi akiwa na Barcelona.

Guardiola ndie aliyemsajili Alves mwaka 2008 kwa dau la pauni milioni 23 kutoka Sevila kwenda Barcelona

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger