TRA

TRA

Tuesday, June 20, 2017

Jose Mourinho adaiwa kukwepa kodi Uhispania

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !
Meneja wa Manchester United Jose Mourinho ametuhumiwa kufanya ulaghai wakati wa ulipaji kodi alipokuwa katika klabu ya Real Madrid.

Maafisa wa mashtaka nchini humo wanasema alitenda makosa hayo alipokuwa mkufunzi mkuu wa klabu hiyo.

Anatuhumiwa kukwepa kolipa kodi ya jumla ya €3.3m (£2.9m; $3.6m) kati ya mwaka 2011 na mwaka 2012.


Bado hajazungumzia madai hayo.

Watu wengine mashuhuri aktika soka ambao wametuhumiwa kufanya ulaghai wakati wa kulipa kodi Uhispania majuzi ni pamoja na nyota wa Barcelona Lionel Messi, ambaye alipatikana na hatia na kuhukumiwa kifungo cha miezi 21 jela.

Hata hivyo Messi, hatarajiwi kwenda jela.

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger