Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya
Nchi, Mhandisi Hamad Masauni (kushoto) akizungumza na Kamishna Mkuu wa
Kupambana na Dawa za Kulevya, Rogers Sianga, wakati Kamishna huyo
alipomtembelea ofisini kwake, jijini Dar es Salaam leo, kwa lengo la
kujadili masuala mbalimbali ya kupambana na dawa za kulenya nchini.
Kamishna Mkuu wa Kupambana na Dawa
za Kulevya, Rogers Sianga (kulia), akimfafanulia jambo Naibu Waziri wa
Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni wakati Kamishna huyo
alipomtembelea Masauni ofisini kwake, jijini Dar es Salaam leo, kwa
lengo la kujadili masuala mbalimbali ya kupambana na dawa za kulenya
nchini.
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya
Nchi, Mhandisi Hamad Masauni (kushoto) akimsikiliza Kamishna wa
Intelejensia wa Mamlaka ya Kupambana na Dawa za Kulevya, Fredrick Kibuta
(kulia), alipokua anatoa ufafanuzi jinsi ya kupambana na dawa za
kulevya nchini. Katikati ni Kamishna Mkuu wa Kupambana na Dawa za
Kulevya, Rogers Sianga. Mazungumzo hayo yalifanyika ofisini kwa Masauni,
jijini Dar es Salaam. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
SHARE
No comments:
Post a Comment