Watu wengi wanadhani kwamba ufisadi upo tu barani Afrika, lakini ukweli ni kuwa hilo ni tatizo la dunia. Fuatilia kinachotokea nchini Urusi kwa Rais Vladmir Putin.
Wafuasi wa kiongozi
wa upinzani nchini Urusi Alexei Navalny wanatarajiwa kumiminika mjini
Moscow kwa maandamano yasiyoruhusiwa kupinga ufisadi.
Ofisi ya mkuu wa mashataka imeinya kuwa polisi watachukua hatua dhidi ya maandamano yasiyoruhusiwa,
- Kiongozi wa upinzani nchini Urusi afungwa jela
- Kiongozi mkuu wa upinzani nchini Urusi akamatwa Moscow
Wimbi la mwisho la maandamano yaliyoongozwa na Bwana Navalny yalimalizika huku mamia ya watu wakikamatwa.
Maandanoia yalikuwa makubwa zaidi tangu mwaka 2012 na kuwavutia maelfu ya watu wakiwemo vijana wengi, baada ya ripoti iliyochapishwa na Bwana Navalny, ikimshutumu waziri mkuu Dmitry Medvedev kwa kuhuika kwenyr ufisadi.
CHANZO: BBC
SHARE
No comments:
Post a Comment