Aliyekuwa Mwendesha Mashtaka wa cheo cha juu mjini New York, amefichua kuwa
alifutwa kazi na Rais Donald Trump baada ya kupokea simu kadha
zisizokuwa za kawaida kutoka kwa Rais huyo wa Marekani.
Bwan Bharara alisema kuwa alifutwa baada ya kukataa kuchukua simu ya tatu ya Trump.
Bwan Bharara alisema kuwa alifutwa baada ya kukataa kuchukua simu ya tatu ya Trump.
Ikulu ya white House haikujibu mara moja madai hayoiya bwana Bharara.
- Trump: Nitamteua mkurugenzi mpya wa FBI haraka iwezekanavyo
- Rais Trump achukizwa na tuhuma za Comey
- James Comey anadaiwa kukataa kumtii rais Trump
"Rais obama hakunipigia simu hata mara moja katika kipindi cha miaka saba unusu," bwana Bharara alisema.
CHANZO: BBC
SHARE









No comments:
Post a Comment