Mkurugenzi
wa Bodi ya Taifa ya Utalii (TTB), Devotha Mdachi (kulia) akimkabidhi
mkataba Balozi wa ukarimu ‘Goodwill Ambassador’ wa TTB, Irene Veda mara
baada ya kusaini.
Mkurugenzi
wa Bodi ya Taifa ya Utalii (TTB), Devotha Mdachi (kulia) akimwelekeza
Balozi wa ukarimu ‘Goodwill Ambassador’ wa TTB, Irene Veda sehemu za
kusaini mkataba wake wa miaka miwili.
Balozi wa ukarimu ‘Goodwill Ambassador’ wa TTB, Irene Veda (kushoto) akiendelea kusaini mkataba wake .
Mkurugenzi
wa Bodi ya Taifa ya Utalii (TTB), Devotha Mdachi (kulia) akimalizia
kumwelezea Balozi wa ukarimu ‘Goodwill Ambassador’ wa TTB, Irene Veda
sehemu za mwisho za kusaini katika mkataba huo.
Balozi
wa ukarimu ‘Goodwill Ambassador’ wa TTB, Irene Veda akimalizia kusaini mkataba wake ili kuanza rasmi kazi za kupeperusha Bendera ya kutangaza utalii nchini Tanzania.
Mkurugenzi
wa Bodi ya Taifa ya Utalii (TTB), Devotha Mdachi (kulia) pamoja na
Balozi wa ukarimu ‘Goodwill Ambassador’ wa TTB, Irene Veda wakionesha
mikataba yao baada ya kumaliza kusaini.Kuona kazi ambazo ameanza kuzifanya bofyaInstagram: www.instagram.com/twendetukataliitz
Twitter: www.twitter.com/TukataliiTz
SHARE
No comments:
Post a Comment