Mkurugenzi Mtendaji wa TGNP Mtandao, Lilian Liundi akizungumza na
waandishi wa habari mara baada ya kufungua katika warsha iliyoandaliwa
na Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) na kuwakutanisha wajumbe anuai
kutoka asasi za kiraia kujadili bajeti kwa jicho la kijinsia. Warsha
hiyo ya siku tatu inafanyika Ofisi za TGNP Mabibo jijini Dar es Salaam.
No comments:
Post a Comment