TRA

TRA

Wednesday, June 7, 2017

Mtandao wa TGNP wazijengea uwezo Asasi za Kijamii kuchambua bajeti kwa mlengo wa kijinsia

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !


Mkurugenzi Mtendaji wa TGNP Mtandao, Lilian Liundi akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kufungua katika warsha iliyoandaliwa na Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) na kuwakutanisha wajumbe anuai kutoka asasi za kiraia kujadili bajeti kwa jicho la kijinsia. Warsha hiyo ya siku tatu inafanyika Ofisi za TGNP Mabibo jijini Dar es Salaam.

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger