TRA

TRA

Thursday, June 15, 2017

Timu anayocheza Mtanzania Ujerumani imetwaa Ubingwa

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !


Good news kwa mtanzania Emily Mgeta anayecheza soka la kulipwa Ujerumani katika club ya Sport Freunde Lauffen, timu anayocheza mtanzania Emily Mgeta June 15 imetwaa Kombe la Baden Wurttemberg.

Timu ya Mgeta imetwaa taji hilo baada ya kufanikiwa kuifunga TSG Wustenrot kwa magoli 2-0, ushindi huo sasa unaipa nafasi nyingine timu ya Sport Freunde Lauffen ya kushiriki Kombe la Ujerumani (Germany Cup).

Kama hufahamu Germany Cup ni Kombe kama la FA ambapo litashirikisha timu hadi za Bundesliga na mfumo utakaotumika katika hatua hiyo ni knock-out kwa maana ya mtoano, kama watafanya vizuri na kufikia hatua za mbali wanaweza kupata nafasi ya kucheza na timu za Bundelsiga,


Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger