TRA

TRA

Tuesday, June 20, 2017

Tulijisahau, sasa tuzingatie sheria

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !


UKIFUATILIA kwa umakini matukio mengi yanayotokea nchini kwetu leo hii utajifunza jambo moja muhimu.

Jambo hilo ni baadhi yetu kutopenda kuzingatia sheria katika shughuli zetu mbalimbali hususan ofisi za umma.

 Rais John Magufuli







Matokeo yake leo tunaona mambo mengi yamebadilika. Tunaona yanayoendelea sasa ni mambo mageni. Kumbe tatizo kubwa tulijisahau na kutojua kuna kitu kinaitwa sheria.

Sasa uongozi wa sasa chini ya Rais John Magufuli anatukumbusha kuzingatia sheria katika shughuli mbalimbali za utendaji wa kila siku kwamba ni jambo muhimu.



 

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger