Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Walemavu) Jenista Mhagama akimkabidhi tuzo na cheti Meneja wa Vodacom Tanzania PLC Kanda ya Kati Manyoni, Elly Mwambene baada ya Kampuni hiyo kushika nafasi ya pili katika makampuni binafsi yanayojishughulisha sana kwenye jamii na kutoa fursa ya ajira kwa vijana na kuwa na technologia kubwa. Tuzo hiyo ilitolewa na Baraza la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC) katika Kongamano la Pili la Baraza hilo mjini Dodoma mwishoni mwa wiki.
SHARE
No comments:
Post a Comment