• About
  • Services
  • Products
  • Blog
  • Contact Us

NCHI YANGU

Menu
  • Home
  • Lifestyle
    • Sub Menu 1
    • Sub Menu 2
    • Sub Menu 3
  • Sports
    • Sub Menu 1
      • Sub Menu 1
      • Sub Menu 2
      • Sub Menu 3
    • Sub Menu 2
    • Sub Menu 3
  • Post
  • Fitness
  • Music
  • Travel
  • Politics
  • Beauty

TRA

TRA

Wednesday, July 5, 2017

Home > > Besiktas yamnasa kisiki Pepe

Besiktas yamnasa kisiki Pepe

at 5:19 AM
Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !
 
 
Klabu ya Besiktas ya Uturuki imefanikiwa kumsajili bure beki kisiki wa timu ya taifa ya Ureno, Képler Laveran Lima Ferreira, maarufu kama Pepe.

Pepe amesaini mkataba wa miaka wa mitatu kuweza kuwatumikia miamba hao wa ligi ya Uturuki.
 Pepe alitajwa mchezaji bora katika fainali za Euro 2016 

Mchezaji huyu aliachwa na klabu yake ya Real Madrid baada ya kumalizika kwa mkataba wake mwishoni mwa msimu uliopita. 

Uhamisho huu wa mlinzi huyu unahitimisha miaka kumi ya kuitumikia Real Madrid ambapo alikua ni moja kati ya wachezaji muhimu wa kikosi cha kwanza wa timu hiyo.

CHANZO: BBC
Unknown

Author: Unknown

SHARE
  • Share
  • Tweet
  • Share
  • Pin
  • Share
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Fourni par Blogger CodeEnvoyer par emailBlogThis !Partager sur TwitterPartager sur FacebookPartager sur LinkedInÉpingler sur PinterestPartager sur StumbleUponVoter pour cet article sur HelloCoton

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Tupate kupitia Facebook

Popular Posts

  • WALIMU 2,939 WAKOSA VIGEZO VYA KUJIUNGA NA MAFUNZO YA UALIMU
      SERIKALI imesema jumla ya walimu 2,939 sawa na asilimia 19.5 walioomba kujiunga na mafunzo ya ualimu ngazi ya astashahada na stashahada...
  • Mapigano makali yazuka Damascus
    Mapigano makali yamezuka katika mji mkuu wa Syria Damascus jana Jumapili, baada ya waasi kupenya usiku katika maeneo ya mji huo yanayo...
  • DK KIGWANGALA: SERIKALI INATAMBUA UKATILI WANAOKUMBANA NAO WATOTO
    Na Mahmoud Ahmad Arusha Serikali inatambua ukatili wanaokumbana nao watoto ndio maana imeandaa mkakati wa taifa wa ...

Popular Posts

  • WALIMU 2,939 WAKOSA VIGEZO VYA KUJIUNGA NA MAFUNZO YA UALIMU
    WALIMU 2,939 WAKOSA VIGEZO VYA KUJIUNGA NA MAFUNZO YA UALIMU
      SERIKALI imesema jumla ya walimu 2,939 sawa na asilimia 19.5 walioomba kujiunga na mafunzo ya ualimu ngazi ya astashahada na stashahada...
  • Mapigano makali yazuka Damascus
    Mapigano makali yamezuka katika mji mkuu wa Syria Damascus jana Jumapili, baada ya waasi kupenya usiku katika maeneo ya mji huo yanayo...
  • DK KIGWANGALA: SERIKALI INATAMBUA UKATILI WANAOKUMBANA NAO WATOTO
    Na Mahmoud Ahmad Arusha Serikali inatambua ukatili wanaokumbana nao watoto ndio maana imeandaa mkakati wa taifa wa ...
  • Maskini Joyce Banda. Polisi Malawi watoa hati akamatwe
      LILONGWE- POLISI nchini, wametoa kibali cha kukamatwa kwa Rais wa z...
  • Dalili tano za wanawake wanaochepuka |
    ...
  • RAIS AZUNGUMZA NA UONGOZI WA WIZARA YA MAWASILIANO NA USAFIRISHAJI
    R...

Pages

  • Home
  • About Us
  • Contat Us
 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger