• About
  • Services
  • Products
  • Blog
  • Contact Us

NCHI YANGU

Menu
  • Home
  • Lifestyle
    • Sub Menu 1
    • Sub Menu 2
    • Sub Menu 3
  • Sports
    • Sub Menu 1
      • Sub Menu 1
      • Sub Menu 2
      • Sub Menu 3
    • Sub Menu 2
    • Sub Menu 3
  • Post
  • Fitness
  • Music
  • Travel
  • Politics
  • Beauty

TRA

TRA

Wednesday, July 5, 2017

Home > > Besiktas yamnasa kisiki Pepe

Besiktas yamnasa kisiki Pepe

at 5:19 AM
Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !
 
 
Klabu ya Besiktas ya Uturuki imefanikiwa kumsajili bure beki kisiki wa timu ya taifa ya Ureno, Képler Laveran Lima Ferreira, maarufu kama Pepe.

Pepe amesaini mkataba wa miaka wa mitatu kuweza kuwatumikia miamba hao wa ligi ya Uturuki.
 Pepe alitajwa mchezaji bora katika fainali za Euro 2016 

Mchezaji huyu aliachwa na klabu yake ya Real Madrid baada ya kumalizika kwa mkataba wake mwishoni mwa msimu uliopita. 

Uhamisho huu wa mlinzi huyu unahitimisha miaka kumi ya kuitumikia Real Madrid ambapo alikua ni moja kati ya wachezaji muhimu wa kikosi cha kwanza wa timu hiyo.

CHANZO: BBC
Unknown

Author: Unknown

SHARE
  • Share
  • Tweet
  • Share
  • Pin
  • Share
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Fourni par Blogger CodeEnvoyer par emailBlogThis !Partager sur TwitterPartager sur FacebookPartager sur LinkedInÉpingler sur PinterestPartager sur StumbleUponVoter pour cet article sur HelloCoton

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Tupate kupitia Facebook

Popular Posts

  • Gavana wa zamani afungwa miaka 14 Brazil
    Mahakama nchini Brazil imemuhukumu gavana wa zamani wa jimbo la Rio de Janeiro, Sergio Cabral  miaka 14 gerezani kwa kuhusika katika r...
  • Waliooa wake wengi kufungwa jela Canada
      Winston Blackmore afika mahakamani huko Cranbrook  Viongozi wawili wa dini nchini Canada wamepatikana na hatia ya kuoa wake weng...
  • Bondia aliyemshinda Manny Pacquiao asema hakupendelewa
    Mwalimu wa zamani aliyempiga Manny Pacquiao ili kushinda taji la uzani wa welterweight ukanda wa WBO amepuuzilia mbali madai kwamba h...

Popular Posts

  • Gavana wa zamani afungwa miaka 14 Brazil
    Gavana wa zamani afungwa miaka 14 Brazil
    Mahakama nchini Brazil imemuhukumu gavana wa zamani wa jimbo la Rio de Janeiro, Sergio Cabral  miaka 14 gerezani kwa kuhusika katika r...
  • Waliooa wake wengi kufungwa jela Canada
    Waliooa wake wengi kufungwa jela Canada
      Winston Blackmore afika mahakamani huko Cranbrook  Viongozi wawili wa dini nchini Canada wamepatikana na hatia ya kuoa wake weng...
  • Bondia aliyemshinda Manny Pacquiao asema hakupendelewa
    Bondia aliyemshinda Manny Pacquiao asema hakupendelewa
    Mwalimu wa zamani aliyempiga Manny Pacquiao ili kushinda taji la uzani wa welterweight ukanda wa WBO amepuuzilia mbali madai kwamba h...
  • Dk. Kigwangalla apiga tafu ujenzi wa jengo la Makao makuu ya CCM Mkoa wa Songwe
      Mbunge wa Nzega Vijijini ambaye pia ni Mjumbe wa Halmashahuri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Mh. Dk. Hami...
  • Korea Kaskazini yarusha kombora karibu na Japan
    Waziri wa Ulinzi wa Japan amesema kuwa makombora yaliyorushwa na Korea Kaskazini yameanguka katika eneo la bahari la Japan, takriban km...
  • Matumizi ya chumvi kwenye  chakula yawe na tahadhari
    Matumizi ya chumvi kwenye chakula yawe na tahadhari
    Mwandishi Wetu, TJNCDF SEHEMU kubwa ya milo anayokula binadamu huwekwa chumvi ili kuleta ladha nzuri ya kumvutia mla...

Pages

  • Home
  • About Us
  • Contat Us
 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger