• About
  • Services
  • Products
  • Blog
  • Contact Us

NCHI YANGU

Menu
  • Home
  • Lifestyle
    • Sub Menu 1
    • Sub Menu 2
    • Sub Menu 3
  • Sports
    • Sub Menu 1
      • Sub Menu 1
      • Sub Menu 2
      • Sub Menu 3
    • Sub Menu 2
    • Sub Menu 3
  • Post
  • Fitness
  • Music
  • Travel
  • Politics
  • Beauty

TRA

TRA

Wednesday, July 5, 2017

Home > > Mourinho :Sifurahishwi na usajili

Mourinho :Sifurahishwi na usajili

at 5:16 AM
Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !


     
    Meneja wa Manchester United, Jose Mourinho amedaiwa kutofurahishwa na taratibu za usajili zinavyoendelea wa kipindi hiki cha majira ya kiangazi katika klabu yake.

    Baada ya United kutwaa taji la michuano ya Europa ligi,meneja huyo alisema alimpa makamu mwenyekiti wa timu hiyo Ed Woodward orodha na wachezaji anaowahitaji kusajili. 

     Jose Mourinho

    Man United haijafanikiwa kusajili wachezaji ambao kocha huyu anawataka katika kujenga kikosi kipya kwa ajili ya msimu ujao.

    Kuna uwezekano kukawa na maendeleo mengine wiki hii lakini mpaka sasa ni mchezaji mmoja mpya aliyesajili ambaye ni beki Victor Lindelof toka Benfica ya Ureno. 

    Mourinho anahitaji mshambuliaji mmoja atakayeziba pengo la Zlatan Ibrahimovic, pamoja na kiungo mkabaji. 

    Man United wamekuwa wakimuwania mshambuliaji wa Real Madrid, Alvaro Morata ambae uhamisho wake bado haujulikani hatima yake.

    Lakini pia timu hiyo inawahitaji viungo Eric Dier wa Tottenham na Nemanja Matic kuja kujenga safu bora ya kiungo cha chini.

    CHANZO: BBC
    Unknown

    Author: Unknown

    SHARE
    • Share
    • Tweet
    • Share
    • Pin
    • Share
    «
    Next
    Newer Post
    »
    Previous
    Older Post
    Fourni par Blogger CodeEnvoyer par emailBlogThis !Partager sur TwitterPartager sur FacebookPartager sur LinkedInÉpingler sur PinterestPartager sur StumbleUponVoter pour cet article sur HelloCoton

    No comments:

    Post a Comment

    Newer Post Older Post Home
    Subscribe to: Post Comments (Atom)

    Tupate kupitia Facebook

    Popular Posts

    • WALIMU 2,939 WAKOSA VIGEZO VYA KUJIUNGA NA MAFUNZO YA UALIMU
        SERIKALI imesema jumla ya walimu 2,939 sawa na asilimia 19.5 walioomba kujiunga na mafunzo ya ualimu ngazi ya astashahada na stashahada...
    • Mapigano makali yazuka Damascus
      Mapigano makali yamezuka katika mji mkuu wa Syria Damascus jana Jumapili, baada ya waasi kupenya usiku katika maeneo ya mji huo yanayo...
    • DK KIGWANGALA: SERIKALI INATAMBUA UKATILI WANAOKUMBANA NAO WATOTO
      Na Mahmoud Ahmad Arusha Serikali inatambua ukatili wanaokumbana nao watoto ndio maana imeandaa mkakati wa taifa wa ...

    Popular Posts

    • WALIMU 2,939 WAKOSA VIGEZO VYA KUJIUNGA NA MAFUNZO YA UALIMU
      WALIMU 2,939 WAKOSA VIGEZO VYA KUJIUNGA NA MAFUNZO YA UALIMU
        SERIKALI imesema jumla ya walimu 2,939 sawa na asilimia 19.5 walioomba kujiunga na mafunzo ya ualimu ngazi ya astashahada na stashahada...
    • Mapigano makali yazuka Damascus
      Mapigano makali yamezuka katika mji mkuu wa Syria Damascus jana Jumapili, baada ya waasi kupenya usiku katika maeneo ya mji huo yanayo...
    • DK KIGWANGALA: SERIKALI INATAMBUA UKATILI WANAOKUMBANA NAO WATOTO
      Na Mahmoud Ahmad Arusha Serikali inatambua ukatili wanaokumbana nao watoto ndio maana imeandaa mkakati wa taifa wa ...
    • Maskini Joyce Banda. Polisi Malawi watoa hati akamatwe
        LILONGWE- POLISI nchini, wametoa kibali cha kukamatwa kwa Rais wa z...
    • Dalili tano za wanawake wanaochepuka |
      ...
    • RAIS AZUNGUMZA NA UONGOZI WA WIZARA YA MAWASILIANO NA USAFIRISHAJI
      R...

    Pages

    • Home
    • About Us
    • Contat Us
     
    Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
    Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger