• About
  • Services
  • Products
  • Blog
  • Contact Us

NCHI YANGU

Menu
  • Home
  • Lifestyle
    • Sub Menu 1
    • Sub Menu 2
    • Sub Menu 3
  • Sports
    • Sub Menu 1
      • Sub Menu 1
      • Sub Menu 2
      • Sub Menu 3
    • Sub Menu 2
    • Sub Menu 3
  • Post
  • Fitness
  • Music
  • Travel
  • Politics
  • Beauty

TRA

TRA

Wednesday, July 5, 2017

Home > > Mourinho :Sifurahishwi na usajili

Mourinho :Sifurahishwi na usajili

at 5:16 AM
Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !


     
    Meneja wa Manchester United, Jose Mourinho amedaiwa kutofurahishwa na taratibu za usajili zinavyoendelea wa kipindi hiki cha majira ya kiangazi katika klabu yake.

    Baada ya United kutwaa taji la michuano ya Europa ligi,meneja huyo alisema alimpa makamu mwenyekiti wa timu hiyo Ed Woodward orodha na wachezaji anaowahitaji kusajili. 

     Jose Mourinho

    Man United haijafanikiwa kusajili wachezaji ambao kocha huyu anawataka katika kujenga kikosi kipya kwa ajili ya msimu ujao.

    Kuna uwezekano kukawa na maendeleo mengine wiki hii lakini mpaka sasa ni mchezaji mmoja mpya aliyesajili ambaye ni beki Victor Lindelof toka Benfica ya Ureno. 

    Mourinho anahitaji mshambuliaji mmoja atakayeziba pengo la Zlatan Ibrahimovic, pamoja na kiungo mkabaji. 

    Man United wamekuwa wakimuwania mshambuliaji wa Real Madrid, Alvaro Morata ambae uhamisho wake bado haujulikani hatima yake.

    Lakini pia timu hiyo inawahitaji viungo Eric Dier wa Tottenham na Nemanja Matic kuja kujenga safu bora ya kiungo cha chini.

    CHANZO: BBC
    Unknown

    Author: Unknown

    SHARE
    • Share
    • Tweet
    • Share
    • Pin
    • Share
    «
    Next
    Newer Post
    »
    Previous
    Older Post
    Fourni par Blogger CodeEnvoyer par emailBlogThis !Partager sur TwitterPartager sur FacebookPartager sur LinkedInÉpingler sur PinterestPartager sur StumbleUponVoter pour cet article sur HelloCoton

    No comments:

    Post a Comment

    Newer Post Older Post Home
    Subscribe to: Post Comments (Atom)

    Tupate kupitia Facebook

    Popular Posts

    • ALIYEKUWA DIWANI WA KATA YA GIHANDU AJIUZULU
        Na Jumbe Ismailly -HANANG .  ALIYEKUWA diwani wa kata ya Gihandu,wilayani Hanang,Mkoani Manyara kwa tiketi ya Chama c...
    • Mashahidi wa Yehova wapigwa marufuku nchini Urusi
      Mahakama ya juu ya Urusi imepitisha uamuzi unaopiga marufuku madhehebu ya Mashahidi wa Yehova nchini humo.  Uamuzi huo umeamuru kufu...
    • Ahmadinejad azuiliwa kugombea tena urais wa Iran
      Baraza la uangalizi nchini Iran limemzuia rais wa zamani wa nchi hiyo Mahmoud Ahmadinejad kuwa mgombea katika uchaguzi wa rais utakaofan...

    Popular Posts

    • ALIYEKUWA DIWANI WA KATA YA GIHANDU AJIUZULU
      ALIYEKUWA DIWANI WA KATA YA GIHANDU AJIUZULU
        Na Jumbe Ismailly -HANANG .  ALIYEKUWA diwani wa kata ya Gihandu,wilayani Hanang,Mkoani Manyara kwa tiketi ya Chama c...
    • Mashahidi wa Yehova wapigwa marufuku nchini Urusi
      Mashahidi wa Yehova wapigwa marufuku nchini Urusi
      Mahakama ya juu ya Urusi imepitisha uamuzi unaopiga marufuku madhehebu ya Mashahidi wa Yehova nchini humo.  Uamuzi huo umeamuru kufu...
    • Ahmadinejad azuiliwa kugombea tena urais wa Iran
      Ahmadinejad azuiliwa kugombea tena urais wa Iran
      Baraza la uangalizi nchini Iran limemzuia rais wa zamani wa nchi hiyo Mahmoud Ahmadinejad kuwa mgombea katika uchaguzi wa rais utakaofan...
    • SERIKALI IMETENGA SHILINGI BILIONI 11.4 KUBORESHA WAKALA WA NDEGE ZAKE
      SERIKALI IMETENGA SHILINGI BILIONI 11.4 KUBORESHA WAKALA WA NDEGE ZAKE
      Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Atashasta Nditiye akiongea na wajumbe wa Menejimenti ya Wakala wa Ndege za S...
    • DAAH. DSTV KIBOKO HEBU NENDA SABASABA UONE MAMBO YAO
        Meneja Masoko wa Multichoice-Tanzania, Alpha Mria  na Afisa Masoko wa Multichoice Tanzania Shumbana Walwa kushoto  ...
    • Dalili tano za wanawake wanaochepuka |
      ...

    Pages

    • Home
    • About Us
    • Contat Us
     
    Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
    Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger