• About
  • Services
  • Products
  • Blog
  • Contact Us

NCHI YANGU

Menu
  • Home
  • Lifestyle
    • Sub Menu 1
    • Sub Menu 2
    • Sub Menu 3
  • Sports
    • Sub Menu 1
      • Sub Menu 1
      • Sub Menu 2
      • Sub Menu 3
    • Sub Menu 2
    • Sub Menu 3
  • Post
  • Fitness
  • Music
  • Travel
  • Politics
  • Beauty

TRA

TRA

Wednesday, July 5, 2017

Home > > Mourinho :Sifurahishwi na usajili

Mourinho :Sifurahishwi na usajili

at 5:16 AM
Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !


     
    Meneja wa Manchester United, Jose Mourinho amedaiwa kutofurahishwa na taratibu za usajili zinavyoendelea wa kipindi hiki cha majira ya kiangazi katika klabu yake.

    Baada ya United kutwaa taji la michuano ya Europa ligi,meneja huyo alisema alimpa makamu mwenyekiti wa timu hiyo Ed Woodward orodha na wachezaji anaowahitaji kusajili. 

     Jose Mourinho

    Man United haijafanikiwa kusajili wachezaji ambao kocha huyu anawataka katika kujenga kikosi kipya kwa ajili ya msimu ujao.

    Kuna uwezekano kukawa na maendeleo mengine wiki hii lakini mpaka sasa ni mchezaji mmoja mpya aliyesajili ambaye ni beki Victor Lindelof toka Benfica ya Ureno. 

    Mourinho anahitaji mshambuliaji mmoja atakayeziba pengo la Zlatan Ibrahimovic, pamoja na kiungo mkabaji. 

    Man United wamekuwa wakimuwania mshambuliaji wa Real Madrid, Alvaro Morata ambae uhamisho wake bado haujulikani hatima yake.

    Lakini pia timu hiyo inawahitaji viungo Eric Dier wa Tottenham na Nemanja Matic kuja kujenga safu bora ya kiungo cha chini.

    CHANZO: BBC
    Unknown

    Author: Unknown

    SHARE
    • Share
    • Tweet
    • Share
    • Pin
    • Share
    «
    Next
    Newer Post
    »
    Previous
    Older Post
    Fourni par Blogger CodeEnvoyer par emailBlogThis !Partager sur TwitterPartager sur FacebookPartager sur LinkedInÉpingler sur PinterestPartager sur StumbleUponVoter pour cet article sur HelloCoton

    No comments:

    Post a Comment

    Newer Post Older Post Home
    Subscribe to: Post Comments (Atom)

    Tupate kupitia Facebook

    Popular Posts

    • Gavana wa zamani afungwa miaka 14 Brazil
      Mahakama nchini Brazil imemuhukumu gavana wa zamani wa jimbo la Rio de Janeiro, Sergio Cabral  miaka 14 gerezani kwa kuhusika katika r...
    • Waliooa wake wengi kufungwa jela Canada
        Winston Blackmore afika mahakamani huko Cranbrook  Viongozi wawili wa dini nchini Canada wamepatikana na hatia ya kuoa wake weng...
    • Bondia aliyemshinda Manny Pacquiao asema hakupendelewa
      Mwalimu wa zamani aliyempiga Manny Pacquiao ili kushinda taji la uzani wa welterweight ukanda wa WBO amepuuzilia mbali madai kwamba h...

    Popular Posts

    • Gavana wa zamani afungwa miaka 14 Brazil
      Gavana wa zamani afungwa miaka 14 Brazil
      Mahakama nchini Brazil imemuhukumu gavana wa zamani wa jimbo la Rio de Janeiro, Sergio Cabral  miaka 14 gerezani kwa kuhusika katika r...
    • Waliooa wake wengi kufungwa jela Canada
      Waliooa wake wengi kufungwa jela Canada
        Winston Blackmore afika mahakamani huko Cranbrook  Viongozi wawili wa dini nchini Canada wamepatikana na hatia ya kuoa wake weng...
    • Bondia aliyemshinda Manny Pacquiao asema hakupendelewa
      Bondia aliyemshinda Manny Pacquiao asema hakupendelewa
      Mwalimu wa zamani aliyempiga Manny Pacquiao ili kushinda taji la uzani wa welterweight ukanda wa WBO amepuuzilia mbali madai kwamba h...
    • Dk. Kigwangalla apiga tafu ujenzi wa jengo la Makao makuu ya CCM Mkoa wa Songwe
        Mbunge wa Nzega Vijijini ambaye pia ni Mjumbe wa Halmashahuri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Mh. Dk. Hami...
    • Korea Kaskazini yarusha kombora karibu na Japan
      Waziri wa Ulinzi wa Japan amesema kuwa makombora yaliyorushwa na Korea Kaskazini yameanguka katika eneo la bahari la Japan, takriban km...
    • Matumizi ya chumvi kwenye  chakula yawe na tahadhari
      Matumizi ya chumvi kwenye chakula yawe na tahadhari
      Mwandishi Wetu, TJNCDF SEHEMU kubwa ya milo anayokula binadamu huwekwa chumvi ili kuleta ladha nzuri ya kumvutia mla...

    Pages

    • Home
    • About Us
    • Contat Us
     
    Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
    Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger