TRA

TRA

Monday, July 17, 2017

Clinton Njie njiani kuelekea Marseille

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !



Mshambuliaji wa Tottenham Clinton Njie anatarajiwa kujiunga na klabu ya Marseille ya Ufaransa kwa mkataba wa kudumu baada ya klabu hizo kuafikiana.

Raia huyo wa Cameroon wa umri wa miaka 23 alikuwa klabu hiyo ya Ligue 1 kwa mkopo msimu uliopita, ambapo alifunga mabao manne.
Njie alijiunga na Spurs kutoka Lyon mwaka 2015 kwa £10m na kuchezea klabu hiyo mechi 14, ingawa aliumia kwenye goti Desemba 2015.

"Tunamtakia Clinton kila la kheri siku zake za baadaye," Tottenham wamesema.

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger