Meneja wa klabu ya
Chelsea, Antonio Conte amesaini mkataba mpya wa miaka miwili kuendelea
kuwanoa mabingwa watetezi wa taji la ligi kuu ya England.
Baada ya kusaini mkataba huo mpya Conte alisema " nina furaha sana kwa kusaini mkataba huu mpya,"
Mkurugenzi wa klabu hiyo, Marina Granovskaia, aliongeza kwa kusema "mafanikio makubwa waliyopata, pamoja na uhodari wa kocha huyo ndio kimewapa imani ya kumuongezea Conte mkataba mpya".
SHARE
No comments:
Post a Comment