TRA

TRA

Wednesday, July 19, 2017

HARMORAPA ALIVYOTINGA MSIBANI KWA WAZIRI MWAKYEMBE

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !



Msanii Hamorapa ameungana na Mamia ya wakazi wa Jiji la Dar es Salaam, kushiriki katika ibada ya kumuaga mke wa Dk Harrison Mwakyembe, Linah Mwakyembe. Pamoja na Mkapa, viongozi kadhaa wa Serikali akiwamo Jaji Kiongozi, Katibu Mkuu Kiongozi, mawaziri, wake wa viongozi wastaafu, wake wa mawaziri, wanasiasa na wasanii wameshiriki ibada iliyofanyika katika kanisa la KKT Kunduchi jijini Dar es salaam ikiwa ni maandalizi ya kuusafirisha mwili huo kuelekea mkoani Mbeya kwaajili ya mazishi.

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger