TRA

TRA

Saturday, July 15, 2017

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !







Ibada ya mazishi imefanywa kwa aliyekuwa mshindi wa tuzo la Nobel, Liu Xiabao. 

Mwili wake ulichomwa katika mji wa Shenyang katika tukio lililohudhurwa na marafiki na familia, kukiwemo mkewe Liu Xia aliyekabidhiwa majivu ya mumewe.

Amekuwa akizuiliwa nyumbani kwa muda mrefu ingawa msemaji wa Jiji la Shenyang alieleza kuwa anaamini mama huyo kwa sasa yuko huru.

Liu Xiaobo alihukumiwa kifungo cha miaka 11 mwaka 2009 kwa kosa la uhaini.

Ingawa watu mashuhuri kimataifa wangali wanatuma jumbe za rambirambi vyombo vya habari va uchina vingali vinamkosoa.
Gazeti moja, The Global Times, lilidai kuwa Liu alitaka kupindua Serikali.

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger