TRA

TRA

Saturday, July 15, 2017

MREMBO NANDY AFUNGUKA HAYA KUHUSU MAHUSIANO YAKE NA BILLNASS

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !

Moja ya stori ambazo zinasambaa sana kwenye mitandao mbalimbali ni kuhusu mwimbaji Nandy kudaiwa kuwa mapenzini na Billnass lakini mwimbaji huyo ameendelea kukanusha akisema ni watu tu wanawaona hivyo.

Nandy amesema hawako mapenzini na Billnass bali yupo kwenye mahusiano na mu mwingine ambaye hawezi kumuweka hadharani.
”Nikitoka hapa nahisi huko nakoenda naenda kuachwa kwa sababu nina mahusiano yangu sitoki na Billinass. Kwa kweli mmeyavunja mahusiano yangu. Tuwe Serious kwenye hili maana nisingependa mashabiki wangu waone hivyo. Sitoki na Billinass hatuna mahusiano.
“Mashabiki wanavyoona wanaongea, hatuna hata ukaribu. Haiwezi kutokea, itakuwa ni ngumu kwa sababu mimi nina uhusiano, nina mpenzi wangu yupo japo siwezi kumuweka Public. – Nandy.

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger