Wapiganaji nchini DRC
Wachunguzi wa Umoja
wa Mataifa wamesema kuwa huenda wanajeshi wa Jamuhuri ya Kidemokrasia
ya Congo au wapiganaji wa waasi nchini humo walihusika na mauaji ya
wenzao wawili.
Wachunguzi wanasema wenzao hao walipanga kukutana na kiongozi wa wanamgambo, siku moja kabla ya kuuawa.
SHARE









No comments:
Post a Comment