TRA

TRA

Tuesday, July 18, 2017

MAUAJI YA WACHUNGUZI UN, DRC

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !

 

 Wapiganaji nchini DRC

 
Wachunguzi wa Umoja wa Mataifa wamesema kuwa huenda wanajeshi wa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo au wapiganaji wa waasi nchini humo walihusika na mauaji ya wenzao wawili. 

Michael Sharp, raia wa Marekani na Zaida Catalan, mwenye uraia wa Uswizi na Chile waliuawa Machi mwaka huu walipokuwa wakifanya utafiti kuhusu hali ya usalama nchini Congo.

Wachunguzi wanasema wenzao hao walipanga kukutana na kiongozi wa wanamgambo, siku moja kabla ya kuuawa.

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger