TRA

TRA

Tuesday, July 18, 2017

TEMBO ZAIDI 40 WAUAWA DRC

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !



Maafisa kutoka Hifadhi ya Taifa ya Garamba nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wamesema kuwa Tembo 45 wameuawa tangu mwanzo wa mwaka huu. 

Maafisa hao wanasema endapo uhalifu huo utaendelea kukithiri, Tembo huenda wakapotea kabisa katika mbuga hiyo, ambayo ni moja ya maeneo yaliyo na tembo wengi zaidi barani Afrika. 

Ripoti zinasema Ndovu hao huuawa na makundi ya waasi nchini DRC, wapiganaji wa kundi la waasi wa LRA kutoka Uganda, na waasi wa Sudan Kusini.

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger