Meneja Uendeshaji wa Covenant Bank, Baraka Enock akizungumza wakati wa mahafali ya kwanza ya wanafunzi vijana wanachama wa Umoja wa Mataifa (YUNA), yaliyofanyika juzi katika ukumbi wa makumbusho ya Taifa Dar es Salaam, benki hiyo itawawezesha wahitimu hao kupata mafunzo ya ujasiriamali, bima ya Matibabu pamoja na kufungua akaunti za Biashara kupitia benki hiyo.
SHARE
No comments:
Post a Comment