TRA

TRA

Wednesday, July 19, 2017

MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA TARIME ATOA ONYO KALI

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !

 


Mwenyekiti wa Halmshauri ya Wilaya ya Tarime Moses Misiwa Yomami akiongea katika  baraza la Madiwani baada ya kupewa Hati safi ambapo ameomba kamati ya ulinzi na usalama kuwachukulia hatua kali na kukamatwa kwa madiwani
wanao chochea Migogoro ya Mipaka katika Maeneo yao bila kuangalia chama.
"Kuna madiwani wengine wanadanganya wanachi wao kuwa  wakiwachagua wataweza kupanua maeneo na kubadili mipaka jambo ambalo ni ndoto hivyo suala hilolinaweza kuchochea Migogoro na kuweza kuzua hatari kama kuna diwani wa hivyo bila kujali itikadi za vyama si CHADEMA wala CCM wakamatwe"
alisema Yomami.

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger