TRA

TRA

Wednesday, July 19, 2017

Nchi za kiarabu zasalimu amri kwa Qatar

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !



 Qatar imekataa masharti hayo 

Mataifa manne ya kiarabu yanayoongozwa na Saudi Arabia sasa hayaishinikizi tena Qatar kutekeleza masharti 13 yaiyowasilishwa mwezi uliopita.

Wanadiplomasia kutoka nchini za Saudi Arabia, UAE, Bahrain na Misri waliwaambia waandishi wa habari katika Umoja wa Mataifa kuwa sasa wanaitaka Qatar kukubali masharti sita makuu.

Hii ni pamoja na kujitoea kupambana na ugaidi na itikadi kali na kuchana na vitendo vya uchokozi.
Hakuna na tamko lolote kutoka kwa Qatar, ambayo inakana kuwaunga mkono magaidi.

Imekataa kukubali masharti yoyote yanayotishia uhuru wake au kuenda kinyume na sheria za kimataifa.

Vikwazo bva angani, ardhini na baharibi ilivyowekewa wiki sita zilizopita vimesababisha usumbufu katika taifa hilo la Ghuba, ambalo hutegemea kununua bidhaa kwa wakaazi wake.

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger