Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt. John
Pombe Magufuli akimpokea Rais wa Jamuhuri ya Burundi Mhe. Pierre Nkurunziza mara
baada ya kuwasili katika viwanja vya Lemela mjini Ngara Mkoani Kagera Julai
20,2017
Rais
wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Mgeni wake
Rais wa Burundi Mhe. Pierre Nkurunziza mara baada ya Kumpokea katika Uwanja vya
Lemela mjini Ngara Mkoani Kagera Julai 20,2017
Rais
wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Mgeni wake
Rais wa Burundi Mhe. Pierre Nkurunziza, wakipiga picha rasmi baada ya kumpokea.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na ujumbe
wake katika mazungumzo maalum ya kiserikali na Rais wa Jamuhuri ya Burundi Mhe.
Pierre Nkurunziza na ujumbe wake Mjini
Ngara Mkoani Kagera Julai 20,2017
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na ujumbe
wake katika mazungumzo maalum ya kiserikali na Rais wa Jamuhuri ya Burundi Mhe.
Pierre Nkurunziza na ujumbe wake Mjini
Ngara Mkoani Kagera Julai 20,2017
Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt. John
Pombe Magufuli akiwahutubia mamia ya wananchi wa Mji wa Ngara kwenye Mkutano wa Hadhara uliofanyika katika
Uwanja wa Posta Mjini Ngara Mkoani Kagera 20 Julai 2017
Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt. John
Pombe Magufuli akiwahutubia mamia ya wananchi wa Mji wa Ngara kwenye Mkutano wa Hadhara uliofanyika katika
Uwanja wa Posta Mjini Ngara Mkoani Kagera 20 Julai 2017
Rais
wa Jamuhuri ya Burundi Mhe. Pierre Nkurunziza Akihutubia wananchi wa Mji wa Ngara kwenye Mkutano wa Hadhara uliofanyika katika
Uwanja wa Posta Mjini Ngara Mkoani Kagera 20 julai 2017
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na Rais wa
Jamuhuri ya Burundi Mhe. Pierre Nkurunziza wakiwapungia wananchi wa Mji wa
Ngara kwenye uwanja wa Lemela mjini
Ngara Mkoani Kagera Julai 20,2017
Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt. John
Pombe Magufuli na Rais wa Burundi Mhe. Pierre Nkurunziza wakiwa wamesimama
wakipokea salama za heshima kutoka kwa majeshi ya ulinzi na usalama
Rais
wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na mgeni
wake Rais wa Jamuhuri ya Burundi Mhe. Pierre Nkurunziza wakiwapungia mikono
wananchimwa mji wa ngara wakati wakiwasili katika uwanja wa posta mjini Ngara
kwa ajili ya mkutano wa hadhara
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, Rais wa Jamuhuri
ya Burundi Mhe. Pierre Nkurunziza pamoja na mama Janeth Magufuli katika
Maongezi
Rais
wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na mgeni
wake Rais wa Jamuhuri ya Burundi Mhe. Pierre Nkurunziza wakiwapungia mikono
wananchimwa mji wa ngara wakati wakiwasili katika uwanja wa posta mjini Ngara
kwa ajili ya mkutano wa hadhara
Umati
wa ananchi wa mji wa Ngara waliohudhulia
katika uwanja wa posta mjini Ngara kusikiliza Hotuba ya Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli katika uwanja wa posta mjini
Ngara julai 20,2017
Rais
wa Jamuhuri ya Burundi Mhe. Pierre Nkurunziza akiwasalimia wananchi wa Mji wa
Ngara kwenye Mkutano wa Hadhara
uliofanyika katika Uwanja wa Posta Mjini Ngara 20 Julai 2017
Rais
wa Burundi Mhe. Pierre Nkurunziza akikagua graride la lililoandaliwa na jeshi
la ulinzi la Tanzania JWTZ katika viwanja vya Lemela mjini Ngara Mkoani Kagera
Julai 20,2017
SHARE
No comments:
Post a Comment