TRA

TRA

Monday, July 17, 2017

ROMERO AONGEZA MKATABA MIAKA MINNE UNITED

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !


Sergio Romero
 
Kipa namba mbili wa klabu ya Manchester United Sergio Romero amesaini mkataba mpya utakaomuweka klabuni hapo hadi 2021.

Romero, mwenye umri wa miaka 30, alijiunga na mashetani wekundu wa Old Traford mwaka 2015 akitokea timu ya Sampdoria.

Kipa huyu namba moja wa timu ya taifa ya Argentina amecheza michezo 28 katika misimu miwili aliyoichezea timu yake na katika michezo hiyo ni michezo sita tu aliyocheza katika ligi kuu ya England.

Tetesi za golikipa namba moja wa Man United, David De Ge kuwa anaweza kusajiliwa na Real Madrid, huenda zikawa zimechangia kwa kipa huyu kuongeza mkataba mpya.

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger