TRA

TRA

Monday, July 17, 2017

FEDERER ATWAA TAJI LA WIMBLEDON

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !



Roger Federer mshindi mara nane wa michuano ya wazi ya Wimbledon Roger Federer mshindi mara nane wa michuano ya wazi ya Wimbledon

 
Mchezaji namba tano kwa ubora wa mchezo tenesi Roger Federer ameweka historia ya kuwa mchezaji wa kwanza kutwaa taji la michuano ya Wimbledon, kwa mara nane.

Federer ametwaa taji hilo la Grand Slam baada ya kumshinda mpinzani wake Marin Cilic, kwa jumla ya seti tatu. 

Katika seti ya kwanza bingwa huyu wa kihistoria alishinda kwa 6-3, kisha akashinda kwa 6-1 na kumaliza kwa 6-4, katika mchezo ulichezwa kwa muda wa saa moja na na dakika 41.

Hili ni taji la 19 la Grand Slam, kwa mchezaji huyu raia wa Switzerland, na kuwa mchezaji mkubwa zaidi kutwaa mataji yote ya michuano ya wazi ya England.

CHANZO: BBC

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger